Wamshitaki maalim seif anaemdharau shein tena toka siku ya kupiga kura.
Wawashtaki ukawa walio mdharau shein, pale alipo ingia bungeni alafu ukawa wote wakaanza kumzomea na huku wakiimba wimbo wa kumtukuza seif ambae ni raia wa kawaida.
Wamshtaki lowassa na viongozi wenzie wa ukawa, ambao walio mkataa magufuri kua sio raisi halili wa tz na wanamtaka mara moja arudi kwao chato akalime nanasi, bila kusahau washafungua kesi mamtoni.
Wawashtaki wannachi wote walioko ndani na nje ya nchi wanao sema shein sio rais halali.
Nyinyi akina tadea kama hamuwezi siasa, ebu fungueni mradi wa kufuga kuku na mgawane kazi wengine wazoe mavi na wengine msafishe mabanda acheni siasa za maji ya ugoko.. Shwain!
Eti zitto hiv, mara zitto vile... Jamani muacheni rais atakae mrithi magufuri afanye yake na wala msimbuguzi.
MIND YOU:kila mnapo mzungumzia zitto ndio mnampqndisha chati ktk vile viwango ambavyo wenyewe hamvitaki.
I'll be back....