Yaani yule dogo anatisha aisee, mimi nilimwona live akiwa na kile kichwa cha mtoto enzi zile nikisoma masters Muhimbili. Nilibahatika kupiga picha mbili tatu kwa kutumia kijisimu kidogo kilichokuwepo kibindoni.
Yaani yule dogo anatisha aisee, mimi nilimwona live akiwa na kile kichwa cha mtoto enzi zile nikisoma masters Muhimbili. Nilibahatika kupiga picha mbili tatu kwa kutumia kijisimu kidogo kilichokuwepo kibindoni.
Habari zenu wadau
umepita mda mrefu sana tangu swala la huyu dogo aliekamatwagwa na kichwa cha mtoto Mariam na kuwekwa ndani. Ni moja kati ya matukio yaliyotikisa sn Tz hapa hebu naomba mwenye updates za kesi ya huyu Ramadhani ziliishia wapi
Yaani yule dogo anatisha aisee, mimi nilimwona live akiwa na kile kichwa cha mtoto enzi zile nikisoma masters Muhimbili. Nilibahatika kupiga picha mbili tatu kwa kutumia kijisimu kidogo kilichokuwepo kibindoni.