Yanga 3 vs simba 3

MR JIMY

New Member
Joined
Oct 22, 2013
Posts
3
Reaction score
0
Wana jf tena wataalam wa soka naomba kujua kipi kiliwasibu yanga kipindi cha pili hadi simba ikarudisha magoli yote matatu.
 
Uwezo wa Yanga wa kucheza na timu inayocheza mpira wa Akili kama Simba ni dk.45 tu. Kwani uzee walionao Wachezaji ni kikwazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…