Daah! Mwaka huu timu tulizotegemea zimeboa sana! Shida tunakalala spain brazil! Nazani game mwaka huu walocheza ya kuvutia ni germany na chile tu! Uchezaji wa spain leo kama jana brazil! Yani wanakosa magoli ya waz mpk aibu mtu anafika golini badala ya kufunga anatoa pasi! Haya sasa swiss hao wamejinyakulia!
Daah! Mwaka huu timu tulizotegemea zimeboa sana! Shida tunakalala spain brazil! Nazani game mwaka huu walocheza ya kuvutia ni germany na chile tu! Uchezaji wa spain leo kama jana brazil! Yani wanakosa magoli ya waz mpk aibu mtu anafika golini badala ya kufunga anatoa pasi! Haya sasa swiss hao wamejinyakulia!
raha ya mpira zile timu tunazotegemea kushinda zisumbuliwe.sio timu zile zile tu ziwe zina tesa.hapa sasa spain wataamka zaidi na ndio washabiki wa mpira tuna enjoy.