Ivory Coast wanakula nao sahani moja so far.
Kimbia humo ofisini...tafuta kisingizio jamani..unakosa mtanage wa nguvu.
Kina Kalou wana-command respect huko mbele si utani.
mkuu usikose baadae mechi ya brazil kutuwekea picha za watoto wazuri wa ki-brazil uwanjani manake kutokana na style ya kucheza ya Dunga wale tu ndio watachangamsha mechi leo lol.
mkuu usikose baadae mechi ya brazil kutuwekea picha za watoto wazuri wa ki-brazil uwanjani manake kutokana na style ya kucheza ya Dunga wale tu ndio watachangamsha mechi leo lol.