World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Anataka kuwapunguza Ivory Coast ni mchezaji muongo akiguswa
 
he he he he WC imeanza sasa......what a shot.................
 
DUh! siamini bado nipo ofisini!!
Anyway, nitaangalia hata kipindi cha pili basi!
 
tupeni update mliobarikiwa kuwa mbele ya luninga mida hii!
 
Huyu Ronaldo hatari sana, wakimpa nafasi kama hizi (alivyopiga post ya juu ya goli) mbili tatu anafunga vizuri tu.
 
DUh! siamini bado nipo ofisini!!
Anyway, nitaangalia hata kipindi cha pili basi!

Mkuu Bigirita,

Ivory Coast wanakula nao sahani moja so far.
Kimbia humo ofisini...tafuta kisingizio jamani..unakosa mtanage wa nguvu.
Kina Kalou wana-command respect huko mbele si utani.
 
Ronaldo analeta upuzi katika hii ngoma...huu ustar una nomaa kweli!
 
mkuu usikose baadae mechi ya brazil kutuwekea picha za watoto wazuri wa ki-brazil uwanjani manake kutokana na style ya kucheza ya Dunga wale tu ndio watachangamsha mechi leo lol.

Ombi lako limefika mkuu.No sweat.
 
Ukiangalia vizuri picha C Ronaldo amemtukana mwenzie analewa ustar sana
 
REF needs to be strong and consistent otherwise mechi itaharibika.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…