Kwanza kabisa naomba nikuulize maswali kadhaa ukijibu na majibu ya maswali yako yatapatikina kutokana na majibu yako
1. Unamfahamu agreegator/wakala mkuu wako?
2. Hiyo till/line ya mpesa uliipataje kwa kununua au? Na ninani alikuuzia( si maanishi utaje jina)?
3. Je! Ina soma jina lako/kampuni/duka lako?
4. Ulipeleka lesen ya biashara,Tin no na copy ya id yako??
Jibu hapa kwanza af ntarud
lkn note kuwa wingi wa vibanda
vya mpesa mitaani havihusiki na tatzo lako!