two pocblities may b cauzng tha problm, kubwa kabsa ni source ya hyo os(cd or whatever) inaeza kua inamiss baadh ya files, xo inabd uibadlshe, ama cd rom ya pc yako inaeza kuwa nayo ni tatzo hasa hyo lenz, xo jarbu pia kuifuta vyumbi kwa uangalifu, na pia jarbu kubadli selection ya drive unapotaka kuweka os yake n then gv back the rsults.