Jamani hii mitandao wanatajirika sana, ndio maana inabidi uwe unachagua, hata mm wameniambia nilipe 250/ mara 450/ nitapata huduma ya Internet kumbe ni uongo mtupu, ukishaliwa fedha wanakuambia ni kuanzia saa 6 usiku, ilipofika usiku nika- kaa hadi saa 7 usiku lakini wapi nikahamishia kwenye Modem lakini wapi.
Nashauri airtel (Zain ) ndio msemakweli utafanya kazi zako zote bila wasiwasi.
Ila kiboko ni BlackBerry ukushajaza utasurf na kuDownload bila tatizo sema haikubali mitandao mingine ya Kampuni za simu ukiweka Bundle zao
Nakushauri waombe no. ya kujifuta (Ondoa km ni 15050) au vinginevyo pole mkuu