Wewe ni IT technician?

An African

Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
10
Reaction score
6
Hello JF,

Anatafutwa kijana mwenye kuanzia Diploma akiwa na bachelor itakuwa safi zaidi ya IT, akiwa na professional certification kama Network plus, C C N A or C C N P itakuwa ni added advantage...maana nataka kijana mzuri wa network.

Atume Cv kwenye ymwaki@softnet.co.tz na yusuphmwaki@yahoo.com asanteni sana
 
Unamuhitaji katika ishu ipi awe mwalimu kufundisha ccna na ccnp,au kuna ishu za networking asimamie??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…