johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,653
- 143,028
Kwa mujibu wa Wapemba zama za Zitto Kabwe zimeshatamatika πKwa hiyo Zitto alikuwa ka uzibe?
Kwa akili yako ya Lumumba unafikiri Zitto ameachia ngazi kweli?
Juzi nimemsikiliza Dorothy Semu Kiongozi Mkuu amenivutia sanaAct to be honest kina watu makini wenye kujenga hoja watafika mbali
Lissu alishasaini kitambo πΌACT watapata wabunge wengi zaidi uchaguzi ujao endapo kama watamshawishi Lisu kujiunga na chama chao.
Maandalozi ya mapokezi makubwa sana ya kigogo mwandamizi kutoka chadema yanaandaliwa kabla ya mwisho wa mwaka huu anhamia rasmi ACT..Kama alivyosema Ismael Jussa kwamba mabadiliko kamili nchini Tanzania yataanzia Zanzibar kupitia ACT wazalendo " mpya"...
Chadema itapasuka katikatimaandalozi ya mapokezi makubwa sana ya kigogo mwandamizi kutoka chadema yanaandaliwa kabla ya mwisho wa mwaka huu anhamia rasmi ACT..
tena ni kutoka juu mpaka chini...Chadema itapasuka katikati
si ndio vimbelembeleNaona mnajitekenya na kucheka wenyewe. All roads lead to CHADEMA.
Zitto ameachia cheo ila atabaki kua kama mshauri mkuu labdaKwa hiyo Zitto alikuwa ka uzibe?
Kwa akili yako ya Lumumba unafikiri Zitto ameachia ngazi kweli?
CHADEMA ndio kipimo Cha siasaChadema itapasuka katikati
Kimbelembele ni wewe chawa wa CCM . CHADEMA ndio chama Cha kwanza Cha upinzani kushinda Jimbo la uchaguzi. Halafu mjinga mmoja anadai ni kimbelembele.si ndio vimbelembele
sasa chadema watashindana na ccm ilowashinda hadi wakoloni...CHADEMA ndio kipimo Cha siasa
Kimbelembele ni wewe chawa wa CCM . CHADEMA ndio chama Cha kwanza Cha upinzani kushinda Jimbo la uchaguzi. Halafu mjinga mmoja anadai ni kimbelembele.
Alishindwa jiwe na watu wasiojulikana kuivunja CHADEMA sembuse nyie wajinga.tena ni kutoka juu mpaka chini...
Hata Nyerere alijifanya kujiweka kando ccm ila akawa anamnanga Mwinyi kiaina. Zito bado anazodoc za usajili za ACT kazificha Mwandiga. Subiri siku kutokee mpambano utaona rangi yake halisiKama alivyosema Ismael Jussa kwamba mabadiliko kamili nchini Tanzania yataanzia Zanzibar kupitia ACT wazalendo " mpya"
Sasa nimeanza kumuelewa nawaona Watu wanagombea Kadi
Kustaafu kwa Zitto Kabwe kumewapa mtaji mkubwa ACT wazalendo
Ramadan Mubarak π