Wauza vocha wote hao
Hivi ni kweli Aunt alipost
hilo tangazo la White Party jamani? Mimi sijamfollow sionagi la maana
analopost.Kama ndio hivyo basi lazima wema amind maana angeweza
kumalizana na mtandao kimya kimya sio lazima kupost insta.
Hivi ni kweli Aunt alipost hilo tangazo la White Party jamani? Mimi sijamfollow sionagi la maana analopost.Kama ndio hivyo basi lazima wema amind maana angeweza kumalizana na mtandao kimya kimya sio lazima kupost insta.
Hivi ni kweli Aunt alipost hilo tangazo la White Party jamani? Mimi sijamfollow sionagi la maana analopost.Kama ndio hivyo basi lazima wema amind maana angeweza kumalizana na mtandao kimya kimya sio lazima kupost insta.
Tatizo la Wema anapenda urafiki wa Kizaramo mpaka anapitiliza!madira sare,kusuka sare,viatu sare,pafyumu sare utadhani watoto wadogo!
Na ukiwa naye kwenye urafiki basi ukubali kuwa mtumwa maana utafanya anachopenda yeye na adui yake basi lazima na wewe awe adui yako.hata kama hajakukosea,usimpe hata salam maana ukimpa tu anakuona msaliti.
Ngumu sana kuwa na urafiki na mtu kama Wema maana inatakiwa uwe na moyo malaika usimkosee hata kidogo.
Hata hivyo Wema ni mwepesi wa kusamehe naimani watayamaliza tu na Aunty yake
Hivi ni kweli Aunt alipost hilo tangazo la White Party jamani? Mimi sijamfollow sionagi la maana analopost.Kama ndio hivyo basi lazima wema amind maana angeweza kumalizana na mtandao kimya kimya sio lazima kupost insta.
Hivi ni kweli Aunt alipost hilo tangazo la White Party jamani? Mimi sijamfollow sionagi la maana analopost.Kama ndio hivyo basi lazima wema amind maana angeweza kumalizana na mtandao kimya kimya sio lazima kupost insta.
Wala hakuwa amechukizwa na tangazo bali alikuwa ana promote show ki aina yake.....