Naomba tuongelee maadili kidogo. Katika taasisi zetu kuna maboksi yamewekwa kwa ajili ya kuwekea condom. Kwa maana ya kwamba wanasogeza huduma karibu na watu. Inawezekana ipo maana na lengo zuri kwa jamii. Lakini katika upande mwingine nadhan tunaruhusu ngono,yaani kuhalalisha amri ya 6. Je,hii ni halali? Maana mimi kwa mawazo yangu nadhani ni kumpa mtu uhuru wa kuihalalisha amri hii ya Mungu. Je tutafika??