L lete rimoti Senior Member Joined Aug 24, 2021 Posts 159 Reaction score 202 Dec 23, 2022 #1 Wakuu hali sio nzuri Kwa shughuli ya YouTube Tanzania hapa. Idadi ya Views imekuwa ndogo Sana. Naomba Mwenye wazo la Aina ya Content Bora ya YouTube channel aishushe hapa.
Wakuu hali sio nzuri Kwa shughuli ya YouTube Tanzania hapa. Idadi ya Views imekuwa ndogo Sana. Naomba Mwenye wazo la Aina ya Content Bora ya YouTube channel aishushe hapa.
S StudentTeacher JF-Expert Member Joined Jan 30, 2019 Posts 5,641 Reaction score 5,927 Dec 23, 2022 #2 lete rimoti said: Wakuu hali sio nzuri Kwa shughuli ya YouTube Tanzania hapa. Idadi ya Views imekuwa ndogo Sana. Naomba Mwenye wazo la Aina ya Content Bora ya YouTube channel aishushe hapa. Click to expand... Natamani kushusha hapa lakini naogopa wazo langu litabebwa!. Kuna wakati mafanikio bila ubinafi kidogo hayaji. Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
lete rimoti said: Wakuu hali sio nzuri Kwa shughuli ya YouTube Tanzania hapa. Idadi ya Views imekuwa ndogo Sana. Naomba Mwenye wazo la Aina ya Content Bora ya YouTube channel aishushe hapa. Click to expand... Natamani kushusha hapa lakini naogopa wazo langu litabebwa!. Kuna wakati mafanikio bila ubinafi kidogo hayaji. Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
F Finder JF-Expert Member Joined Dec 7, 2016 Posts 378 Reaction score 424 Dec 25, 2022 #3 Kwa sasa football naona inafanya vizur
NetMaster JF-Expert Member Joined Sep 12, 2022 Posts 1,454 Reaction score 4,963 Dec 25, 2022 #4 Mabando yameua fursa ya youtube, wasanii tuliozoea wanapata views milioni ndani ya siku 1 kwa sasa zinatafutwa hata wiki nzima
Mabando yameua fursa ya youtube, wasanii tuliozoea wanapata views milioni ndani ya siku 1 kwa sasa zinatafutwa hata wiki nzima
Tatu JF-Expert Member Joined Oct 6, 2006 Posts 1,143 Reaction score 375 Dec 26, 2022 #5 lete rimoti said: Wakuu hali sio nzuri Kwa shughuli ya YouTube Tanzania hapa. Idadi ya Views imekuwa ndogo Sana. Naomba Mwenye wazo la Aina ya Content Bora ya YouTube channel aishushe hapa. Click to expand... The way umeuliza hili swali I assume that you have YouTube channel. Before I share my 2 cents, 1. Kama una YouTube channel, what content do you air? 2. Do you monetize it? How?
lete rimoti said: Wakuu hali sio nzuri Kwa shughuli ya YouTube Tanzania hapa. Idadi ya Views imekuwa ndogo Sana. Naomba Mwenye wazo la Aina ya Content Bora ya YouTube channel aishushe hapa. Click to expand... The way umeuliza hili swali I assume that you have YouTube channel. Before I share my 2 cents, 1. Kama una YouTube channel, what content do you air? 2. Do you monetize it? How?
D diany New Member Joined Mar 23, 2012 Posts 1 Reaction score 0 Dec 28, 2022 #6 Mkiweza mpitie na misosimitamu mkanisupport
Lavit JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 15,895 Reaction score 36,303 Dec 29, 2022 #7 Haya mambo inabidi ujitafute mwenyewe na upate audience ya nje. Bongo michosho labda kama unatafuta umaarufu.
Haya mambo inabidi ujitafute mwenyewe na upate audience ya nje. Bongo michosho labda kama unatafuta umaarufu.
kichakaa man JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 5,497 Reaction score 5,186 Dec 29, 2022 #8 Lavit said: Haya mambo inabidi ujitafute mwenyewe na upate audience ya nje. Bongo michosho labda kama unatafuta umaarufu. Click to expand... Audience ya nje ndiyo kwenye pesa pia
Lavit said: Haya mambo inabidi ujitafute mwenyewe na upate audience ya nje. Bongo michosho labda kama unatafuta umaarufu. Click to expand... Audience ya nje ndiyo kwenye pesa pia
S StudentTeacher JF-Expert Member Joined Jan 30, 2019 Posts 5,641 Reaction score 5,927 Dec 29, 2022 #9 Lavit said: Haya mambo inabidi ujitafute mwenyewe na upate audience ya nje. Bongo michosho labda kama unatafuta umaarufu. Click to expand... Asante Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Lavit said: Haya mambo inabidi ujitafute mwenyewe na upate audience ya nje. Bongo michosho labda kama unatafuta umaarufu. Click to expand... Asante Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Extra miles JF-Expert Member Joined Apr 18, 2018 Posts 3,736 Reaction score 5,142 Jan 4, 2023 #10 NetMaster said: Mabando yameua fursa ya youtube, wasanii tuliozoea wanapata views milioni ndani ya siku 1 kwa sasa zinatafutwa hata wiki nzima Click to expand... Hii ni excuse tu,
NetMaster said: Mabando yameua fursa ya youtube, wasanii tuliozoea wanapata views milioni ndani ya siku 1 kwa sasa zinatafutwa hata wiki nzima Click to expand... Hii ni excuse tu,