Watu bwana

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,001
Reaction score
72,284
Kwel kifo ni adui!! majambazi walivamia benk wakawaambia " watu wote tunaanza kuwauwa kwa alfabet za majina yenu A,B,C,........Z" wakamuuliza meneja : unaitwa nani? Meneja : zosef zabrahamu. Wakawauliza watumishi wengine : 1: naitwa zedward zamweli, wapili: zanna zadam watatu: zahussein zamussa, wanne: zaasha zaabdallah. wa5.zumari zayakuti. Vipi kama na wewe ungekuwepo bank siku hiyo kwa ninavyokujua unavyoogopa kifo najua ungejiita ZOMBI
ZABWEGE.uwongo!!!"!""""""
 

Mwaya bhaana!! Nimecheka saana mimi hapa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…