Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
hivi kuna mtangazaji mmoja wa clouds 360 anaitwa komoga siku hizi yupo wapi vile
Channel ten hii ya CCM?!.. acha maskhala mkuu!Clouds media is no more, soon inaenda kuwa kama Channel ten!!
Sent from my Iphone using Tapatalk
DekooooYule jamaa wa Belgium hata akifanya dressing kidonda atakwambia operation ya 72
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka maneno yanguChannel ten hii ya CCM?!.. acha maskhala mkuu!
Si ndiyo maana wana hasira, walifikiri wangeweza kumchezea Magufuli kama walivyomfanya Kikwete.
Wao wana hasira ila wewe unafurahia? haya endelea kuburudika.
Wacha unafiki ingekuwa siasa ni dhambi using swash annulus hao wanasiasa kwani ndio kazi yao wanayoipenda na hao unaowaita mabeberu co kila kitu wanakubaliana nacho wanatazama mazingira na ushahidi hao wanaohangaika kuielezea Tanzania ilivyo hivi sasa ni wazalendo zaidi kuliko nyinyi mliojifungia hapo clouds na kuropoka bila kutoa facts.Watangazaji wa Clouds tv wamewashambulia vikali wabunge Tundu Antipas Lisu na Zitto Kabwe kwa kubeba ajenda za taifa na kuwapelekea mabwana zao wakoloni huko ulaya.
Wamedai kuwa baada ya Lisu kuichafua nchi huko UK na Marekani na kukwama kwenda German ambako amenyimwa visa sasa amemtuma Zitto akakamilishe misheni hiyo iliyokosa uzalendo.
Waandishi hao Ngoma na Sasali wamewaonya wanasiasa wa Tanzania iwe CCM au wapinzani wasitake kuwalazimisha watanzania wote kuwa wanasiasa kwani kuna watu wengine kwao siasa ni dhambi.
Ijumaa karim
Maendeleo hayana vyama!