kama atamnyonyesha mtoto kama inavyotakiwa,bila kumpa mtoto kitu kingine chochote zaidi ya maziwa ya mama tuu(exclusive breastfeeding) basi hatapata hedhi kwa kipindi chote hicho atakavyofanya hivyo(kitaalam,mama anatakiwa amnyonyeshe mtoto maziwa yake tuu kwa muda wa miezi 6 ndipo aanze kuongeza na vitu vingine)