Wasichana wa siku hizi bwana

Mr Eggo

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,028
Reaction score
1,052
Unakutana na msichana kwenye hiace mnakaa siti 1(either unamkuta au anakukuta),

Unajiongelesha palee,unamuomba no anakupa,kama unashukia njiani ye anaendelea,unavyoanza kuondoka unam-txt umefika!,,tehe tehe,,,anaanza adithi,mnachat mpaka jioni,usiku unampigia,

Anakuahidi atakuja next day jioni akitoka kazini,anakuja unamgegeda then unafuta no akikupgia we nani?

Watu tumemmis kutongoza na kuzungushwa zungushwa jamani

Huo unaitwa utandawazi no stress kwenye kupata puchi ya ku ee,tehe tehe
 

 
Sasa kama ulimkuta huyo dhaifu unadhani wote? huyo ni ntomb nkale hawa wengi umeliwa wala usije ukajiona mjanja wewe umepatwa!
 
Sasa kama ulimkuta huyo dhaifu unadhani wote? huyo ni ntomb nkale hawa wengi umeliwa wala usije ukajiona mjanja wewe umepatwa!
m pia nlidhan ivo kwamba ndo wale wale ila iko ck aliponaswa mdd na heshima zake nkagundua oooh kumbe na wao ck iz hawana mda wa kung'ata ng'ata vidole,,tehe tehe
 
na wewe hujishangai kuomba namba na kesho yake kwenda kugegeda!!
 
Mmekutana wote nyie chuma chakavu sa kwanini unamsema mwenzio...
 

Attachments

  • image.jpg
    9.6 KB · Views: 334
Unaeleza nini hapa?wote mmekutana vimeo,unavyomsema ww na yeye huko aliko anakuchana pia we scraper,shame upon you.
 
Kumjuwa mwehu si lazima umkute anaokota makopo, hata maandishi yake yanaweza yakakupa taarifa hiyo

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…