Waraka wa wanyakyusa (2010)

OK. Unadumisa mila ile watu nyingine kwisasindwa kutunsa? Fisuli rafiki. Fema kusema ayo, ila saingine sungumsia fafanusi ili na mamayoyoo pate kuyua wewe nasema nini. Hapana mbaya kusungumusia makonde na ile mingine jaluo na kichaga ya Marangu na Machame na Rombo ile kabila luga mingi mabali hapana elewana lakini yote Masawe na Swai. Kama wewe cheka hadololo kwisaongesa maisa dakilka bili.

Leka
 
Watanzania tumshukuru mungu kwa kutupatia Mwalimu Julius Nyerere aliyelazimisha KISWAHILI kitumike kama lugha ya taifa maana kama kila kabila lingewasilisha mambo kwa lugha yake nadhani ingekuwa hatari tupu.
 

- Great Thinker, agha mahala gha mwaro mwaro fijo, Bwa! ha! ha!

Respect.

- Naona ni mambo ya weekend haya!

FMEs!
 
Mbombo ngafu,sye ikisu kyonangike,
kwa kyela kununu,umwelu kungisi + unguliga gweni=Banyakyusa,pope linga kufuma kwa kyela au kutukuju au kwi Ileje twesa tulibanyakyusa
 
Dogo ulipotea sana ...ama ni mambo ya multiple IDs...karibu!



schedule ilikuwa tight mkuu si unajua 2010 inakaribia,sasa lazima tupite pite tukague wapi tukasimame tusiwaachie kina William na Mwakalinga
sasa nimerudi kaka
 
mbombo ngafu,sye ikisu kyonangike,
kwa kyela kununu,umwelu kungisi + unguliga gweni=banyakyusa,pope linga kufuma kwa kyela au kutukuju au kwi ileje twesa tulibanyakyusa

ba kwileje bakajabanyakyusa bandali!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…