Waraka wa wanyakyusa (2010)

Wakunong'oneza acha kuchukua point kimtindo,utatuandikia hata kichina ili mradi ukombe mi point tuuu,sasa sisi huku uzaramoni tuelewe nini,au ndio mbinu zako za kututusi?
Mukulumba, we we waache tu tutawakyongea kwenye fyombo fya dola
 
Wakuu poleni na harakati. Nilitoweka kwa muda, ilikuwa katika mahangaiko ya maisha, si mnajua tena Bongo hapakaliki siku hizi, njaa kali labda ubahatike epa ikupitie.

Leo hapa Mbeya kulikuwa na maandamano ya wafanyakazi kupinga nyongeza ya kisanii ya mishahara. Kima cha chini kuongezewa 4,000 wa juu zaidi ya milioni mbili.

Lakini kikubwa katika mkutano ule ni TUCTA kutangaza kuunga mkono waraka wa Kainisa Katoliki, na kwamba nao watakutana jijini Dar es Salaam hivi karibuni kuandaa wa kwao kwa ajili ya wafanyakazi.
 
mwe mwe ukuti fiki

Igoma,uporoto,mwansyasi,KK,Ikuti, ndagha, ndagha...!!! Wabhokile kukaja Mwakasungura,Mwakisulu,Mwakipesile,Mwakalila,Mwandizi,Mwalukasa,Mwalembe,Mwambene,Mwankosya,Mwakanosya,Mwangosi,Mwakibinga,Mwakiborwa,Mwakalila,Mwakifulefule,Mwambapa,Mwafyungulu, Itetesyege mwana njala...Bhoke,Gwakisa,Bwasi,Lutufyo, kawapone!!!!
 
Igoma,uporoto,mwansyasi,KK,Ikuti, ndagha, ndagha...!!! Wabhokile kukaja Mwakasungura,Mwakisulu,Mwakipesile,Mwakalila,Mwandizi,Mwalukasa,Mwalembe,Mwambene,Mwankosya,Mwakanosya,Mwangosi,Mwakibinga,Mwakiborwa,Mwakalila,Mwakifulefule,Mwambapa,Mwafyungulu, Itetesyege mwana njala...Bhoke,Gwakisa,Bwasi,Lutufyo, kawapone!!!!
ku K.K papo pa homu bulaza,kwiponjola muuvhaponye une ndi ku ngambo lilino,ngulya ikindi ni ndima,pa lufubhilo,mumponye nu mwakanyemba
 
Igoma,uporoto,mwansyasi,KK,Ikuti, ndagha, ndagha...!!! Wabhokile kukaja Mwakasungura,Mwakisulu,Mwakipesile,Mwakalila,Mwandizi,Mwalukasa,Mwalembe,Mwambene,Mwankosya,Mwakanosya,Mwangosi,Mwakibinga,Mwakiborwa,Mwakalila,Mwakifulefule,Mwambapa,Mwafyungulu, Itetesyege mwana njala...Bhoke,Gwakisa,Bwasi,Lutufyo, kawapone!!!!

.....mwambipile ,mwasakafyuka, mwaiswelo,

twevifyusi.....twebhakulisu ipimba...ne mwana gwa ngongobhe...! aseeeee! aseeeee! mfwileee..!
 
TUNUNU mzee sijakupata kabisa si unajua wenguine tumezaliw darco hatukijui kabisa hata cha kuombea maji...he....he..heee....anyway...... TUNUNU..
 
wakuu nimekutana na draft hii ya waraka wa wanyakyusa kuelekea uchaguzi mkuu 2010, naomba fatsiri pls.


Mghonile bhandu bha kyala,
Ndagha fijoo nu ubhutolwe ubhwa kisu iki ikya Tanzania,

--kyala ikubhabhona bho mkwenda kitali, mwebhakisu.
--muli pasi kimaisha bho ulwa ndima sya paafula
--Imijhanga ukufuma kukisu kya india, ghili pamwanya fijho bho imikatapela
mwebhene kisu amatanga ghakubhoneka.
--Muli bhiii kumaso, mkufwana muli bhana bhamfuu.

nifisuri tumalisie kwa kiswahili.

--Nyumba sote sa Asajile mwaijumba (msajiri wa majumba) sote wanaishi
wajhanga toka india.
--Tunabaki tunakunywa kyai kya lukama kya moto nkikombe kya kyuma

kwa sababu ya KYAMA KYA MAPINDUSI (sisiem)

FIKI? MUKWA KUTWAGHA 2010.

KYALA NUNU , KYALA LUGHANO!! NDAGHA KYALA! AMENI.

Loli gwe mundu ugwe uli nkonyofu fijo!! Gwa kukomigwa ni ngili!!
 
hivi kichaga kinaandikika kweli sio siri sijawahi kuona mahali popote hata kwenye nyimbo mbalimbali zikiwemo za dini nasikia tu kinyakyusa.................
 
Back
Top Bottom