Nenda mtaa wa Livingston kariakoo maduka yapo mengi ila leo jumapili mengi hayafunguliwi Kama vipi nenda kesho maduka mengi yatakuwa wazi pia unaweza kwenda lumumba kwa binslum Tyres company Wana battery pia
Nenda mtaa wa Livingston kariakoo maduka yapo mengi ila leo jumapili mengi hayafunguliwi Kama vipi nenda kesho maduka mengi yatakuwa wazi pia unaweza kwenda lumumba kwa binslum Tyres company Wana battery pia
Nenda super doll mwembe chai au Nyerere road aina ya betri chukua varta hautajuta mkuu mie nina betri niliinunua tokea1/8/ 2018 mpaka sasa iko bomba n70
Nenda super doll mwembe chai au Nyerere road aina ya betri chukua varta hautajuta mkuu mie nina betri niliinunua tokea1/8/ 2018 mpaka sasa iko bomba n70
Natumia N70 Maxx. Batt Gold, hii ni la Kikorea Genuine inadunda freshi tu toka mwezi wa 7 last year. Naskiliza redio hata nikizima gari bila wasiwasi nikiwasha ni jino moja.
Natumia N70 Maxx. Batt Gold, hii ni la Kikorea Genuine inadunda freshi tu toka mwezi wa 7 last year. Naskiliza redio hata nikizima gari bila wasiwasi nikiwasha ni jino moja.