Mkuu CRDB tena au unamaanisha NBC,nijuavyo mimi ipo pembezoni mwa Nyerere road upande wa kushoto kama unaenda airport,ukitoka ccm makao makuu then TRA,uktoka hapo unaingia NBC na baada ya hapo ndo Ofisi ya mkuu wa mkoa.
Mkuu CRDB tena au unamaanisha NBC,nijuavyo mimi ipo pembezoni mwa Nyerere road upande wa kushoto kama unaenda airport,ukitoka ccm makao makuu then TRA,uktoka hapo unaingia NBC na baada ya hapo ndo Ofisi ya mkuu wa mkoa.
kaka kwa urahisi ofisi ya mkuu wa mkoa Dodoma iko karibu na ofisi ya CCM makao makuu ukiwa Nyerere Square hapo ukiona bango la CCM makao makuu bhasi ofisi inayofuata ndiyo ya mkuu wa mkoa,AHSANTE
Mkuu CRDB tena au unamaanisha NBC,nijuavyo mimi ipo pembezoni mwa Nyerere road upande wa kushoto kama unaenda airport,ukitoka ccm makao makuu then TRA,uktoka hapo unaingia NBC na baada ya hapo ndo Ofisi ya mkuu wa mkoa.
kaka jagarld na kobori ofisi ya mkuu wa mkoa pale waliihamisha baada ya kuungua moto kwa hiyo kwa sasa ofisi ya mkuu wa mkoa inapakana na ofisi ya CCM makao makuu kwa upande wa chini na baada ya ofisi ya mkuu wa mkoa ndiyo inafata TRA ndugu zangu