1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
uringe mara ngapi jamaniYiiih. Kumbe na mie mzuri eeh. Ngoja nianze kuringa sasa
Ringa Mama ringaaaaYiiih. Kumbe na mie mzuri eeh. Ngoja nianze kuringa sasa
Shoga angu mweee mweeeee nakuwekaa sasa hiviiHivi wewe mama Sabrina kutokuniweka katika list ni dharau au kitu gani???!ngoja nikakate rufaa kwenye kamati ya masaa 72 haiwezi kua hivyo
Si ndo hapo Dada
Wasambaa wanashika namba kote kote
Mbitiyaza alikua anatumia avatar og muda fulani sibishi sana.
Nahuja nishamuona sibishi sana.
Shunie hii avatar ya sasa hivi kaicrop crop, ikiwa full nilishaiona sibishi sana.
Nyinyi wengine lambeni koni kama ulivyotuchimba mkwara
AsanteeeeeUnastahili mama
Ringa mpaka wafeYiiih. Kumbe na mie mzuri eeh. Ngoja nianze kuringa sasa
Hivi wewe mama Sabrina kutokuniweka katika list ni dharau au kitu gani???!ngoja nikakate rufaa kwenye kamati ya masaa 72 haiwezi kua hivyo
Mambo si ndo hayoShoga angu mweee mweeeee nakuwekaa sasa hivii
anapiga henkenshunie ana vibastola vya ukweli
Chura yangu mara kumi ndo yako wewe mojaWeee hanizidi muulize
Nakutegemea maana naona mama Saby anabanaaa utafikiri anawatumia yeyeSawa mzee wa chura
Tuma namba nikujaze mahela wewe. Sasa namba unasita kutoa nikiomba papuchi itakuwaje
Anataka nimkatie rufaa huyo
Hahahahahaaa. Siku ukinikuta sina chura si utakimbia weweKwenye hiyo list ni Mzigua tu ana chura!
shunie ana vibastola vya ukweli
Haahahhahahaah jamaniii mdanganye tuChura yangu mara kumi ndo yako wewe moja
Wakiangalia mgongo wanahisi mambo flani hivi ya kitangaKila sehemu wapo kaka angu