Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

wee mtata sana.
 
Naona unaitumia knowledge yako ya research methodology
..this comment is the solid proof that ur not the type of woman i can find in 1%.
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ kumbe ni kweli bhana Elimu haina mwisho...
 
Kama wewe hivi ulivyokereka na kuja kutushirikisha kero yako, yanatuhusu nini sisi hayo?
Ukipata jibu basi ndilo jibu lako pia.
 
akijibu nampa hela
🀣 🀣 🀣 🀣 acha kumuogopesha mwenzio.. ni kama vile upo chumba cha mtihani mtihani mgumu kweli kweli halafu anapita teacher wa somo hilo anatazama paper lako unalofanya halafu anaanza kucheka
 
Pale umeandika vijembe
the only difference ni kwamba umetumia lugha ya malkia.
sasa vijembe viko wapi pale wakati nimeuliza tu kwamba kwanini unahisi kuwa sipo kwenye hiyo 1% bali nipo kwenye hiyo 99%?
 
acha kumuogopesha mwenzio.. ni kama vile upo chumba cha mtihani mtihani mgumu kweli kweli halafu anapita teacher wa somo hilo anatazama paper lako unalofanya halafu anaanza kucheka
Kama umeingia chaka lazima acheke tu na mimi hapo najua akijibu lazima ataingia chaka maana hana majibu
 
Uko poa kinoma bibie... Is ur PM open!?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Kama wewe hivi ulivyokereka na kuja kutushirikisha kero yako, yanatuhusu nini sisi hayo?
Ukipata jibu basi ndilo jibu lako pia.
eehhh!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…