Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

 
Status zina raha yake huwez ukazipita. Mie napenda za wanandoa wenye mgogoro aiseee utafahamu kila kinachoendelea ndani ya nyumba

Duh na wanawake ndio watakuwa wanaongoza basi.. wanaume wao wakidakwa inabidi wajilaumu wao 😀
 
Mpunguze ni muhim ku handle private life privately wengi wanayaanika hadharan nakumbuka miaka kama miwili nyuma nlikua na mwanamke uyo mkipishana kidogo utakoma kwa hizo status, hakwambii kitu utapata ujumbe kwa status ikawa tukikosana nafutilia mbali namba ili nsiview ujinga wake
 

Ukiona mwanaume anayependa kuandika kwa kuweka emoji nyingi nyingi, ujue huyo naye ni mtu wa status pia. In short, ni mwenzenu.
 
Umenena sahihi kabisa, huwa sielewi lakini nafikiri ni uelewa mdogo juu ya matumizi ya hii mitandao ya kijamii, huenda huyo anayemsema anatumia simu ya tochi
...... Mungu ananisimamiaa...

Tumekuuliza.

😂😂😂😂
 
Kupunguza ndiyo mtu sasa uelimike.
Hatuwezi kupunguza hivi hivi.
 
Fact ila na master's ni degree pia mkuu tukisema degree tunamaanisha associate, bachelor's, master's na doctorate zote hizo ni degree ila ukitaka kuongelea moja ndo unaspecify ni ipi kati ya hizo sema ndo hivyo kwa Tanzania imezoeleka bachelor's tu ndo degree kwahiyo nimekuelewa
Sio degree tu wapo wenye masters na wanafanya uo ujinga, elimu inasaidia lakin n mtu mwenyewe kujitambua
 
Asante kwa kuniongezea maarifa mkuu nmekuelewa vyema
 
Kupitia hivyo wanapata psychological comfort.
Aisee wanahisi kufarijika....

Kuna wapuuzi wengi sana nimewablok kutokana na ujinga huu...

Yani mtu anataka uwe sehemu ya maisha yake for no reason.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…