Wanaumeee

bado sijaona logic nyuma ya kauli hii.
labda niambie ni kwamba wanaume mmezaliwa ama mmeumbwa dhaifu??
Mwanaume aliumbwa strong. Baada ya Eva/Hawa kumshawishi Adam kula ile kitu hapo ndipo udhaifu ulipoanzia, Adam sasa akawa yeye ndio anaulizia ile kitu, na Eva/Hawa akaanza kuringaringa na kuleta mapozi.
 

Wanawake wote ni easy....we unaandika andika tu hapa lakini wataalamu anakupiga mistari lunch time jioni mwenyewe unatazama kibla
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume aliumbwa strong. Baada ya Eva/Hawa kumshawishi Adam kula ile kitu hapo ndipo udhaifu ulipoanzia, Adam sasa akawa yeye ndio anaulizia ile kitu, na Eva/Hawa akaanza kuringaringa na kuleta mapozi.

kumbe ninyi ni dhaifu sio??
 
Kwanza topic ilikuwa kwa nini wanaume hawawezi kujitunza bikra...
Nyie mnasakizia wanawake nyooo mmeshatuona pipa la taka eee kila kitu kututupia.
Jibuni mada hapa je mnabakwa???

wafikishie hao,wametuziea vibayaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…