kbuztz New Member Joined Oct 31, 2013 Posts 3 Reaction score 0 Nov 10, 2013 #1 Wanasiasa niwatu mhimu sana katika jamii. Lakini hawatambui umhimu wa jamii ikiwa wanapitia mikononi mwa jamii hiyo hiyo. Ninini kifanyike kuondoa dhana hii. Kama sheria inapitishwa kwa ndio au hapana.
Wanasiasa niwatu mhimu sana katika jamii. Lakini hawatambui umhimu wa jamii ikiwa wanapitia mikononi mwa jamii hiyo hiyo. Ninini kifanyike kuondoa dhana hii. Kama sheria inapitishwa kwa ndio au hapana.