Mods please Naomba msibadilishe kitu hata header kwa sababu inajitosheleza)
Hii ni spin off ya ma bodyguard thread na sikutaka kuidilute hii thread
Anyway mpigapicha wa WYU alipiga picha nying za vijana wetu wakiwa kazini Comoro lakini sina hivyo kama kuna mtu anazo azilete maana najua tunaweza kufanya comparison na wenzetu wanafavyo fare