Ndio muelewe jinsi jamaa wanavyochakachua hata usaili.Huu ndio mfumo tuliouchagua sisi wenyewe msilalamike.Wakati jamaa walipokupa 5,000/= na tshirt ulifikiri nini.Hao ni wazee wetu waliposhindwa kujua na njaa yao wakauza haki yao.Wanafunzi msiondoke mpaka kieleweke