Tafsiri isiyo rasmi kumekucha jamaa zangu)
Wanaume na Wanawake wote wote, tukutane hapa tuamkiane/ tusalimiane,niambie mwaka huu ulikuja/ulikuwaje vipi!Mimi niko Arusha, mwenzangu uko wapi?Mambo/Mipango/Michakato ikoje au inaendaje, mwaka huu ulienda nyumbani, kuwasalimia au kuamkia ndugu zako?
Hiyo ndo tafsiri. Kwa kimakonde, nyumbani ni KUKAYA, wakati wazaramo/ waluguru/ wakwere / wakutu wanaita UKAE!
(Ntwala kuchele valongo vangu)
nnamilume na vamahe vohevohe tukojane epa tukamasane,
nguhalile mwakau uidile dachi! nangu nive kuarusha,nnyangu uve kwachi? madengo lachidachi mwakau uniwena kukaya kunakamasa valongo vako?
Hata sijaelewa....
(Ntwala kuchele valongo vangu)
nnamilume na vamahe vohevohe tukojane epa tukamasane,
nguhalile mwakau uidile dachi! nangu nive kuarusha,nnyangu uve kwachi? madengo lachidachi mwakau uniwena kukaya kunakamasa valongo vako?
(Ntwala kuchele valongo vangu)
nnamilume na vamahe vohevohe tukojane epa tukamasane,
nguhalile mwakau uidile dachi! nangu nive kuarusha,nnyangu uve kwachi? madengo lachidachi mwakau uniwena kukaya kunakamasa valongo vako?
Kama matusi mwenyewe
. Nangu nauka pa kazi, naida lunduno.hamna tusi apo ndugu yangu Sirdirashy,
hizo mbwembwe za wamakonde kukuonyesha hata sisi tupo tunajua matumizi ya smartphone
Habari jenelo!
(Ntwala kuchele valongo vangu)
nnamilume na vamahe vohevohe tukojane epa tukamasane,
nguhalile mwakau uidile dachi! nangu nive kuarusha,nnyangu uve kwachi? madengo lachidachi mwakau uniwena kukaya kunakamasa valongo vako?
Nang'olo jambo? Habari janero? Ida wako?
Bing'we mle banyana getee!!!, yeneyee JF ya basomi, ete ya batumbafu!!! jagi mkasubale!!!