Na mimi leo nimetia timu chumba no 85 kimejaa na tumehamishiwa no.86 lakini nako full na naona baadhi ya watu hawajaingia nadhani tukitoka na wao wataingia,duh! Membership officer nafasi 6 tunaocompete watu kama 2000 hivi
Wakija humu wakikuta manaelezea siri za interview humu nakuhakikishia wata re-advertise the posts!!! Interview ni siri!!! Tena ni bora mtu mfanye PM kuliko kuweka hadharani kiasi hiki.That is kama ukijua mtu alienda kama ninavyoona hapa basi mengine fanyeni PM not at the arena!!!
Acha uvivu wa kusoma alafu ukikosa una lalamika kua jamaa hawapo fair kumbe hukujiandaa ila una muda wa kuingia jf utasubiri sana nyambafuuu sipendi watu wavivu kujiandaaa
Insurance n nhif unaelewa nn khs hzo? Diff.btn private hif and social hif.afu diff.btn nhif n community health service.. salient features za nhif...duties n respo...za post ako..benefit package za nhif members n challenges... yanatosha bana