Walet nzuri za ngozi

zamzam dachi

Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
22
Reaction score
9
Habari za mida hii wana jamii foroum

naitwa ZAMZAM M DACHI jina la kibiashara ig page ni zababy_dachi_leather ni mjasilia mali wa bidha za ngoz kama walet sandoz za culture na mikanda ya kina baba na watoto wakiume
JUMLA NA REJA REJA

NAHITAJI SAANA KUPATA VIJANA MAKINI WA MINADA ,CHUONI AU SEHEMU ZA IBADA KUWEZA KUCHUKUA FURSA HII MTAJI MDOGO FAIDA IPO NA BISHARA NZURI

NAPATKANA NAMBARI 0719 818147/ 0687365045
 
Hela za kuweka humo zikowapi
vitambulisho vyoote ulivyo navyo shule, kazi, kitambulisho cha bima ya ayfa, na nauli za kila siku, kuliko kuweka ovyo vifaa hivi ni vema kupata walet tena inayo dumu muda mrefu saana
 
Hela za kuweka humo zikowapi
vitambulisho vyoote ulivyo navyo shule, kazi, kitambulisho cha bima ya ayfa, na nauli za kila siku, kuliko kuweka ovyo vifaa hivi ni vema kupata walet tena inayo dumu muda mrefu saana
 
Hela za kuweka humo zikowapi
vitambulisho vyoote ulivyo navyo shule, kazi, kitambulisho cha bima ya ayfa, na nauli za kila siku, kuliko kuweka ovyo vifaa hivi ni vema kupata walet tena inayo dumu muda mrefu saana
 
Mkuu, jibu hapa kwa faida ya wengi. Nambari yangu ni 0713 111171
Ni vema saana ushauri wako na ntakupa mrejesho kama ulivyo hitaji
>Bidhaa zinapatkana kwangu zamzam m dachi nambari 0719818147/0687365045
>Na kwamawasiliano yetu bidhaa zitakufikia salama
>bei zipo kama ifuatavyo
1)vitau(sandoz) jumla 10,000 na 12,000 vyakiume na vya watoto jumla 7000 rejareja 18,000

2) viatu vya kike shanga 10,000 na vya 12,000 makirikiri 22,000

3)walet za ngoz ndani na nje jumla 4000 rejareja 10,000 ni biashara nzuri saana hii

4) walet za ngozi nje tuu ndani kawaida jumla 3000 rejareja 6000

5 hii ni biahsra salama
MIKANDA YA WANAUME

JUMLA 5000-6000 REJAREJA 8000 MPAKA 12,000 INATEGEMEA NA UREFU WA MKANDA

LAKINI PIA UNAWEZA PATA ODER YA WATOTO WA SHULE NA UKIZINGATIA NI KIPINDI CHA KUFUNGUA SHULE SO YA WATOTO BEI YA JUMLA NI 3000 REJA REJA 5000

KARIBUNI SAANA FURSA TULIJENGE TAIFA

0719818147 IPO WHATS UP ONLINE EVERY DAY
0687365045 HAIPO WHATS UP ILA IPO ON EVERY DAY
 
Mkuu zamzam dachi , kwanza nashukuru kwa ufafanuzi wako. Pili, nahitaji wallet moja ya ngozi nje na ndani. Naipataje? Kila la kheri Mkuu!
 
vitambulisho vyoote ulivyo navyo shule, kazi, kitambulisho cha bima ya ayfa, na nauli za kila siku, kuliko kuweka ovyo vifaa hivi ni vema kupata walet tena inayo dumu muda mrefu saana
Ili vikipotea vipotee vyote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…