GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Ahahaaaahaaa Ndo maana mama watot Wang hata akiomba nakua makin na maombi yake sana ,,,Mkiambiwa kwamba hakuna Viumbe wenye akili na maarifa hapa Duniani kama Wanawake muwe mnakubali na acheni ubishi / ligi / bundesliga. Kama unadhani kama ukiwa na Mke au Demu wako Nyumbani Kwako hawezi kuwasiliana na ' Mchepuko ' wake katika namna ya ' Kisayansi ' na iliyotukuka kwa taarifa huwa unajidanganya bali wengi wao huwaambia hivi ' Michepuko ' yao tena wakati mwingine na Wewe ukiwa umekaa nae hapo hapo.
" Niko salama tu Mtumishi wa Bwana ni kwamba Malaika ametawala sehemu zote anailinda Nyumba yetu bila shaka Shetani leo hawezi kuingia wala kutoka Amina "
Shikamooni Wanawake wote Tanzania na Ulimweguni!
Nawasilisha.
Nipe hilo tusi ulotaka mtukana nimtukane mimi...nimeandika nikafuta!
unadhan ni tusi basi!nilitaka kumuibia zingne... nikaona nauza silaha kwa aduiNipe hilo tusi ulotaka mtukana nimtukane mimi...
ππππππππππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£mbavu sina jaman uwiiiπππππππMkiambiwa kwamba hakuna Viumbe wenye akili na maarifa hapa Duniani kama Wanawake muwe mnakubali na acheni ubishi / ligi / bundesliga. Kama unadhani kama ukiwa na Mke au Demu wako Nyumbani Kwako hawezi kuwasiliana na ' Mchepuko ' wake katika namna ya ' Kisayansi ' na iliyotukuka kwa taarifa huwa unajidanganya bali wengi wao huwaambia hivi ' Michepuko ' yao tena wakati mwingine na Wewe ukiwa umekaa nae hapo hapo.
" Niko salama tu Mtumishi wa Bwana ni kwamba Malaika ametawala sehemu zote anailinda Nyumba yetu bila shaka Shetani leo hawezi kuingia wala kutoka Amina "
Shikamooni Wanawake wote Tanzania na Ulimweguni!
Nawasilisha.