Wale wanaotaka kujifunza hisabati

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2010
Posts
2,182
Reaction score
309
Kuna mwalimu mzuri sana anafundisha hisabati kwa wale wanaojiandaa na mitihani, his methodologies are the best na ninapendekeza mwenye kijana wake (form I to form IV) aende akamuene huyu mwalimu. Anafundishia stand ya Makoka (St. Raphael Nursery School) karibu na KKKT Kibangu, ameshawahi kufundisha Nsumba Secondary, Kowaki Sec, Taqwa. Ni maarufu sana kwa pale Mwanza ila kwa sasa yuko likizo Dar na amejitolea kuwasaidia wanafunzi wasiliogope tena somo la hisabati..

Kwa jinsi anavyojiamini anawafundisha wanafunzi halafu wanamlipa wakisharidhika/elewa
 
................ni PM namba ya simu yake kama unayo tafadhali!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…