Wake zetu mpewapo lift msitafute mengineyo

Judgement

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
10,326
Reaction score
4,787
Lift sio lazima iwe ya gari,au kupandia ghorofa,mke rafiki , Jjrani akikuomba simu yako atume message nayo ni lift Mlengwa hapa ni mke.

Mkeo anakuomba lift , then anaanza kupiga na honi.Honi hapa ni hawa wake zetu, kabla hajatuma message ukishampa simu , anaanzia "sent items" .

Wosia wangu nyie wanawake, mkitaka tubaki tunawalea wanetu ndoani ,achaneni na sent items za waume wenu.Pekuapekua sent items za wanaume wenu sio vizuri.
 

atakua kakusikia ataacha...
 
Kwani wewe hupekui sent items ya nduguyo mnaechangia shuka ?

me sipekui mkuu, navyomwamini Mme wangu niendelee kumwamini hivihivi nisije kutana na mengine huko nikafa kwa pressure bure....
 
ukiishiriki simu ya mumeo au mkeo ni kujitaftia yasokuwa na maana na pia ni wazi umemchoka mwenzio unamtaftia sababu tu ya kumuacha
 
Ha ha ha ha! lift hizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…