B best bestest Member Joined Apr 23, 2013 Posts 12 Reaction score 1 Mar 13, 2014 #1 kama kuna anaejua wajanja night imepatwa na nini,? maaana hii wiki sasa nikijiunga naambiwa salio halitoshi wakati limezidi mara 3 zaidi
kama kuna anaejua wajanja night imepatwa na nini,? maaana hii wiki sasa nikijiunga naambiwa salio halitoshi wakati limezidi mara 3 zaidi
Manga ML JF-Expert Member Joined Jul 6, 2013 Posts 9,814 Reaction score 15,558 Mar 13, 2014 #2 hata mimi nashangaa au wameifuta?
K Kal4kaizy Member Joined May 2, 2012 Posts 66 Reaction score 9 Mar 13, 2014 #3 Mbona mi tokea juzi najiunga inakubali tu kwa sh.500.
Mwana Ilala JF-Expert Member Joined Jan 29, 2013 Posts 1,286 Reaction score 488 Mar 14, 2014 #4 Pia mm ilinambia hivyo nlipoweka Tsh500. nkatumia akili yakuzaliwa nkaweka 600 ikakubali. hata Jana pia Nmetumia.
Pia mm ilinambia hivyo nlipoweka Tsh500. nkatumia akili yakuzaliwa nkaweka 600 ikakubali. hata Jana pia Nmetumia.
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Mar 14, 2014 #5 hadi mwezi wa nne ufike itakuwa buku taratibu..
K kiju Senior Member Joined Jan 28, 2014 Posts 159 Reaction score 52 Mar 14, 2014 #6 Kujiunga 500 tu ila unatakiwa angalau uwe na mia 501