Waislam Kigoma wacharuka, hawamtaki RC

Hongera Jakaya Mrisho Kikwete kwa mbegu yako ya udini uliyopanda ili utugawe watanzania ili mafisadi muendeleze utawala wenu dhalimu.Lakini nakuhakikishia JK kuwa wewe ndiyo utakuwa mhanga wa kwanza wa sera yako hii ya UDINI kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu
 
Hivi hii miislamu si ndiyo iliyokuwa unasema chadema na maaskofu watii mamlaka zilizopo kisheria?............kweli waislamu7 wanambwelambwela..........kikwete ndiyo kimbilio lao na baba yao hawasemi chochote bila kumtaja kikwete kisa muislamu na kisa kingine ni mahakama ya kadhi.....................kweli kuna kila sababu waislamu kufeli mitihani madarasani kwani madrasa zinawaharibu vibaya mno......................
 
jamani hawa waislamu ni kweli wanafelishwa necta???au ina maana kwenye necta kuna reg number wana identify za waislam na wakristo tofauti????IFERIORITY COMPLEX,someni acheni madrassa...
 
je hawa jamaa wanataka kila kiongozi awe shehe? their thinking capacity is below standard.
 

Naomba niulize: hivi hawa watendanji - Mkuu wa Mkoa na hao wakuu wa wilaya walichaguliwa na Julius Nyerere (Mkristo), Benjamini Mkapa (Mkristo) au Jakaya Kikwete?
 
Naomba niulize: hivi hawa watendanji - Mkuu wa Mkoa na hao wakuu wa wilaya walichaguliwa na Julius Nyerere (Mkristo), Benjamini Mkapa (Mkristo) au Jakaya Kikwete?

Walichaguliwa kwenye mkoa huo wa pembezoni kwa sababu ya dini yao. Hasa huyu mkuu wa mkoa ukiangalia nafasi aliyokuwa nayo kabla ni kama kukomolewa ima kwa sababu ya dini yake au mgogoro wa kimaslahi.
 
Ni bora Waislamu waliosoma elimu ya madrasa kuliko elimu ya uwongo inayotolewa makanisani ,huko ndiko uwongo unapooota mizizi na kujadiliwa na kupasishwa halafu kuenezwa mitaani ,unajua katika Uislamu hakugaiwi madoli na kuambiwa yanatoka kwa Mungu wala hakugaiwi mikate na maji eti maji ya uzima yanatoka kwa Mungu ,kubwa ambalo nililishuhudia ni pale gari ya mzungu ilipokuwa iliposukumwa ,ilikuwa hivi mzungu aliitoa waya za plug gari yake ,washamba wakijijini hawakuelewa hilo ,mzungu akawambia wasukume gari jamaa walisukuma mpaka wakakaribia kumtukana mzungu ,mzungu akawageukia na kuwambia waimbe nyimbo za kumsifu bwana Mungu ,akawaimbisha na kuomba madua hapo ,huku akizunguuka gari na kuzichomeka waya za plug kinyemela ,kisha akawaambia wasukume ,aloo gari ikashika na kunguruma ,hapo walimsifu na kuimba mpaka asubuhi ,eti mungu amewasha gari.
 
Hao ni wateule bwana!! Utafanyaje kama mwenye Mamlaka anaona ndio wanafaa.
 
Nashauri sasa serikali iweke sheria hawa masheikh na maimamu walazimishwe kwenda shule ili wapate elimu.. Kwani nadhani elimu itawafungua watambue nini kazi yao na wajibu..
 
Nashauri sasa serikali iweke sheria hawa masheikh na maimamu walazimishwe kwenda shule ili wapate elimu.. Kwani nadhani elimu itawafungua watambue nini kazi yao na wajibu..

Wewe umesoma hadi?

Acha kuwadharau masheikh wamesoma sana..kama hukubaliani nao toa hoja.

Ni demokrasia pia kutoa matamko kama walivyofanya wenzao wakristo kwenye waraka wao..ok
 

Kwa kawaida huwa sijihusishi na mijadala ya dini. Mijadala pekee ya dini huwa naijadili na watu wa imani yangu tu, imani ya mtu mwingine wala hainihusu. Ila hii hadithi yako hata mtoto wa miaka mitano hawezi kuiamini. Ni uhakika (kutokana na hadithi yako hii) kuwa hata maana ya "plug" hujui, maana ungejua "plug" kwenye gari inakuwa wapi hadithi yako ungeitunga kwa namna tofauti.

BTW: For argument's sake - ulijuaje hao "washamba wa kijijini" walifundishwa kanisani? Ni watu kama ninyi ndio mnaotukanisha Uislamu.
 
Ingalikua ni kwamba unasema wananchi wa Kigoma wamkataa RC ningekuelewa. Lakini kuniambia sijui eti watu wa dini fulani waikataa RC mpaka hapo sikuelewi. Kwani kwa wakati huo wa kumkataa RC walitamka kabisa kwamba wanamkataa kutokana na dini yake???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…