"Mficha ficha maradhi kilio kitamfichua" ndiyo tunayoambiwa hapa!!!!!!Chadema kaza buti!!!!, watang'ooka tu!!!!!!!!!! Hizi ni dalili njema za msingi tayari umeanza kukubali pressure ya CDM!!!!!! Wafadhili wanawaogopa walipa kodi kule kwao, ambao siyo kama hawa wa bongo!!!!!! Wambieni wafadhili JK, RA, AC, EL, + associates wana mpango wa kufidia gharama za uchaguzi, na kujiandaa kuchakachua uchaguzi wa 2015!!!!!!!!! Ndiyo maana kuna bajeti mbili!!!!!! Heri jamaa wamewatonya mapema wakashituka!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Wambieni wafadhili pia habari za Tshs bilioni 184 kuwa ni sehemu ya mpango wao hawa mafisadi!!!!!!! Hawa mafisadi washukuru nchi ya bongo-ingekuwa Gatundu kingdom ya mzee haraaaaambeee, sasa hivi vichwa vingi vingekwisha katwa kudai haki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!