specifications zake:
HDD ni 320GB, processor ni celeron(R) dual-core CPU T 3300 @2.00GHz, OS ni windows 7, screen ni 15.6 inch. Battery inakaa masaa 4.
Ipo katika hali nzuri,napatikana maeneo ya Dar es Salaam. Nicheki kwa +255 762 986 611
specifications zake:
HDD ni 320GB, processor ni celeron(R) dual-core CPU T 3300 @2.00GHz, OS ni windows 7, screen ni 15.6 inch. Battery inakaa masaa 4.
Ipo katika hali nzuri,napatikana maeneo ya Dar es Salaam. Nicheki kwa +255 762 986 611
Wabongo mnakera sana. Unawekaje bidhaa ya kuuza bila bei? Unataka kuuzia watu mbuzi kwenye gunia? Hivi lini tutakuwa serious na vitu tunavyofanya, hata kama ni vidogo? You need to grow up.
cha mambo ya ajabu specification cyo inshu, ka nngemaind specfication ningeenda kariakoo, nshu tunayomaind hapa ni bei za hiyo mambo ili tuweze kukutofautisha na wengine. unless hakuna maana ya kununua kwako na tuache hao wengine........uwe mdadisi.
weka bei hapa mtu aamue moja, haya mavitu yamejaa kila kona mitaani sidhani kama kuna haja ya kupiga number yako wakati sijaona wala sitegemei unafuu wowote kwako. kuna biashara ambazo ukiweka hivi lazima upate call za kutosha.
weka bei hapa mtu aamue moja, haya mavitu yamejaa kila kona mitaani sidhani kama kuna haja ya kupiga number yako wakati sijaona wala sitegemei unafuu wowote kwako. kuna biashara ambazo ukiweka hivi lazima upate call za kutosha.
Wabongo mnakera sana. Unawekaje bidhaa ya kuuza bila bei? Unataka kuuzia watu mbuzi kwenye gunia? Hivi lini tutakuwa serious na vitu tunavyofanya, hata kama ni vidogo? You need to grow up.