processor 2.8 ghz.....ram 256mb.......hard disk 40gb.....unaweza kuongeza ram ukihitaji mwenyewe...aina ya dell gx 270 za kulala...zinapiga kazi hata kwenye umeme mdogo.....mpaka sasa zimebaki mbili tu.......vilevile nauza flat screen 18 inch nyeusi kwa 70000/= tu.
anayehitaji seriously anitumie meseji kwenye pm au email ammarandu@gmail.com.....ili tumuandalie vizuri kabisa mzigo wake.....nitampa namba ya simu mtu huyo pasi na shaka...karibuni sana.