Mkuu;
Bado hujapata stress, ngoja mama yako au dada zako wakutembelee waliamshe dude. Utatamani ardhi ipasuke ikumeze. Huu sio wakati wa ku chart na wanawake wa nje. Huu ndiyo wakati wa kutiana moyo na kwenda kwenye maombi zaidi wewe na mkeo. Kamwe usimzungumzie habari za kuchelewa kwa vyovyote kurudi home. Kamwe usimzungumzie habari za kuchoka sana kwa kazi kiasi cha kuikosa dozz yake ya kila siku.
Uwe karibu sana naye na kumwambia kuwa, hukuenda kuoa watoto bali ulienda kumuoa yeye. Mhakikishie kuwa, mmepata watoto ni shukrani kwa Mungu, mmekosa watoto mtamshukuru Mungu. Asijaribu tu kuchepuka kwani akifanikiwa huko nje, ni balaa kwako na maisha yako.
Heku uwe siriasi kwa maombi kwani yanalipa. Na kwenda hospital kufanyiwa uchunguzi