Hivi jamani wadau nchi yetu ina vyuo vikuu vingapi????maana huku mtaani kuna vyuo ambavyo sijui kama serikali inajua kama ni vyuo vyake..........tuseme ni maendeleo katika elimu au vipi?maoni yenu wadau
naona unaucngz ww!,
iv nan anakujua mtaani kwako ili ajue hcho chuo??
ww unatakiwa utaje chuo kama unamashaka nacho watu walete ushahid/proof za chuo hcho..
Hivi jamani wadau nchi yetu ina vyuo vikuu vingapi????maana huku mtaani kuna vyuo ambavyo sijui kama serikali inajua kama ni vyuo vyake..........tuseme ni maendeleo katika elimu au vipi?maoni yenu wadau
Tunaangalia statistics za enrollment, graduates na number of schools/colleges/universities
masuala ya quality education tunawaachia wazungu
This is how our education is managed
naona unaucngz ww!,
iv nan anakujua mtaani kwako ili ajue hcho chuo??
ww unatakiwa utaje chuo kama unamashaka nacho watu walete ushahid/proof za chuo hcho..
Hivi jamani wadau nchi yetu ina vyuo vikuu vingapi????maana huku mtaani kuna vyuo ambavyo sijui kama serikali inajua kama ni vyuo vyake..........tuseme ni maendeleo katika elimu au vipi?maoni yenu wadau
Hivi jamani wadau nchi yetu ina vyuo vikuu vingapi????maana huku mtaani kuna vyuo ambavyo sijui kama serikali inajua kama ni vyuo vyake..........tuseme ni maendeleo katika elimu au vipi?maoni yenu wadau