Jamani hawa voda ni wezi, sana leo nimeweka kiasi fulani cha hela ili niweze kujinga na kifurushi, sasa baada tu ya kuingiza vocha salio likasoma sawa sasa ikawa kila ninapojiunga simu, inasema huna salio nikaona niangalie tena salio kwa kuwa sikupiga, na wala sikuandika sms,. Nikaona ni bora niwapigie ili wanipe mchanganuo wa kilicho tokea. Muhudumu aliepokea simu akaniambia nisubiri on line kama dakika mbili hivi baada ya kurudi hewani ananiambia piga simu tena baada ya lisaa limoja. Huku akijua kabisa mida hii ni usiku napia kuwapigia ni gharama. Nashindwa kuwaelewa .