limekua sasa ni tatizo mtu unanunua kifurushi cha [internet] cha bila kikomo lakini unatumia ikishafika mb 700 unatumiwa sms kuambiwa unapunguziwa speed,sasa najiuliza ni nini maana ya bila kikomo?
mbaya zaidi,wakishapunguza speed yaani huwezi kufanya kazi yoyote maana internet inakwenda kama konokono​ sasa huu si uhuni? Embu jirekebiseni hii ni tabia mbaya na ni wizi,