Habari wana JF! kiwanja kinauzwa bunju b kipo kwenye eneo zuri lililojengeka kwa mpangilio mzuri maji na umeme vipo, ukubwa wa kiwanja ni mita 40 kwa mita 30, bei yake ni ml.5 kwa anayehitaji piga 0714107215 au 0714104788
Mhhh huko kila siku tunaona maugomvi na kesi zisizoisha anyway tuambie kama tayari kina hati basi maana wanaolia kwa kutapeliwa viwanja vya maeneo ya Bunju,Tegeta na Boko watu wengi sana hapa Dar