Viwanja vinauzwa bei nafuu

Mmhh kibaha huko kiwanja kilichopimwa sqm moja huwa hawauz zaid ya elf 6.000, sasa chukua hyo 20*20=400*6000 unapata 2.4m wewe hiyo zaid ya mil 8 umeitoa wap??


kibaha sehem gani lakini??
mimi nazungumzia Kibamba mpakani na Kibaha sehem ambayo mahitaji yote yanapatikana Dar
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…