deomsolo Member Mar 31, 2014 20 2 Aug 4, 2014 #1 Ndugu za ile nia ya kuwapatia makazi bado ninayo njoo uone viwanja kuanzia milioni 3 na kuendelea. 0713686329
Ndugu za ile nia ya kuwapatia makazi bado ninayo njoo uone viwanja kuanzia milioni 3 na kuendelea. 0713686329
deomsolo Member Mar 31, 2014 20 2 Aug 4, 2014 Thread starter #2 Ndugu zangu ile nia ya kuwapatia viwanja kwa ajili ya makazi bado ninayo njoo uone viwanja ni kuanzia ml.3 na kuendelea kulingana na mahitaji yako.0713686329
Ndugu zangu ile nia ya kuwapatia viwanja kwa ajili ya makazi bado ninayo njoo uone viwanja ni kuanzia ml.3 na kuendelea kulingana na mahitaji yako.0713686329
mwekundu JF-Expert Member Mar 4, 2013 21,859 19,708 Aug 4, 2014 #3 Vina hati?viko flat?maana huko mabonde na milima ndo ilikoanzia
deomsolo Member Mar 31, 2014 20 2 Aug 4, 2014 Thread starter #4 Hati ni za serekali za mtaa vipo vizuri sana
mamakibunju JF-Expert Member Dec 28, 2013 1,009 220 Aug 5, 2014 #5 Barabarani vya frem za biashara kama bar vinapatikana?
mamakibunju JF-Expert Member Dec 28, 2013 1,009 220 Aug 5, 2014 #7 Kuanzia mbezi mwisho ukipita njia ya kwa mzungu hadi njia panda ya makabe mwisho, sehemu yoyote ktk hapo!
Kuanzia mbezi mwisho ukipita njia ya kwa mzungu hadi njia panda ya makabe mwisho, sehemu yoyote ktk hapo!