Vitanda vya Bei nafuu (iron bed)

Acha matumizi mabaya ya mtandao huu, tafadhali ainisha bei hapa...ili tuone kama ni bei nafuu au wewe ni mlaghai unataka kuwarubuni wasiojua
Weka bei na sample ya picha hapa
 
Bei nafuu utasoma ataandika laki tatu na nusu ama NNE, bei nafuu iwe laki unusu, hapo tutaenda sawa na hii kasi ya 8G
 
Linyandu workshop ndo nchi gani?
Bei nafuu inanzia shilingi ngapi?

Hapa sio Facebook
 
Kama hauseme bei to a uchafu wako humu jf, wewe Utakua Dalali wew
 
Vitanda Tsh. 300,000 inategemea na Aina ya materials utakayotumia na mm Co dalali ni Fundi na Co wa mtaanie Pekee nimebahatika kusoma welding kwa muda wa miaka sita na nimefanya kazi na makampuni tofauti famoyusem613 hii ni Nick name tu naitwa faraji Mohamed yusuph seleman mnyongo na 6=f na m=13 majina nauli ya watu wa karb Sana na Nina certificate inayoniruhusu kufanya kazi za welding eneo lolote duniani baadae nitaambatanisha certificate zangu zote ili mukubali kuwa mm Co dalali
 
HIVYO KWENYE PICHA NDO BEI GANI

MM NATAKA CHA INCHI 5 KWA 6 BEI GANI
Nijuavyo Urefu mimi inchi 5 ni Kama vile Kidole, Sasa Najiuliza Utakuwa Unalaza kitu gani Kidogo Hicho Ambacho Kina Umuhimu Ukichongee Kitanda cha Chuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…