M Mwangaruka Member Joined Nov 30, 2014 Posts 24 Reaction score 2 Feb 19, 2015 #1 Wanahitajika vijana watatu kwa ajiri ya kusambaza dagaa wa Mwanza. Wwawe waaminifu na wenye nia. Kwa maelezo zaidi ni-PM
Wanahitajika vijana watatu kwa ajiri ya kusambaza dagaa wa Mwanza. Wwawe waaminifu na wenye nia. Kwa maelezo zaidi ni-PM
Nasakadoo JF-Expert Member Joined Sep 18, 2014 Posts 343 Reaction score 169 Feb 19, 2015 #2 Be the first to reply am the first!
Ibravo JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 539 Reaction score 202 Feb 19, 2015 #3 Yule aliyesema anataka kazi yoyote,haya changamkia fursa hiyo.
Tamalisa JF-Expert Member Joined Feb 3, 2015 Posts 2,542 Reaction score 907 Feb 20, 2015 #4 ongeza maelezo hapa hapa kwanza, ipe nyama taarifa yako
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,934 Reaction score 30,093 Feb 20, 2015 #5 Mwangaruka said: Wanahitajika vijana watatu kwa ajiri ya kusambaza dagaa wa Mwanza. Wwawe waaminifu na wenye nia. Kwa maelezo zaidi ni-PM Click to expand... Mkuu mie nimwaminifu na nina nia pia kufanya hiyo kazi
Mwangaruka said: Wanahitajika vijana watatu kwa ajiri ya kusambaza dagaa wa Mwanza. Wwawe waaminifu na wenye nia. Kwa maelezo zaidi ni-PM Click to expand... Mkuu mie nimwaminifu na nina nia pia kufanya hiyo kazi
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,934 Reaction score 30,093 Feb 20, 2015 #6 Ibravo said: Yule aliyesema anataka kazi yoyote,haya changamkia fursa hiyo. Click to expand... Mkuu nimechangamkia hii fursa niombee tu nifanikiwe niwe miongoni mwa hao vijana watatu wanaohitajika
Ibravo said: Yule aliyesema anataka kazi yoyote,haya changamkia fursa hiyo. Click to expand... Mkuu nimechangamkia hii fursa niombee tu nifanikiwe niwe miongoni mwa hao vijana watatu wanaohitajika
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,934 Reaction score 30,093 Feb 20, 2015 #7 Mkuu mtoa post vipi mbona kimya sana?