Mkuu....zinatofautiana bei kulingana na ubira wa camera..zipo tunazozifunga kuanzia 1,500,000 kwenda juu(highly reccomended camera) na zingne tunazifunga kwa bei chini ya million I moja na nusu...( hizi hazipo clear na huwa znahtaji service za Mara kwa mara ) baada ya mchanganuo mteja mwenyewe ataamua..
karibu mkuu..