Video ya Harmonize: Bedroom

Same contents almost all his song!!!

Justine Cumpos hakufaa kabisa kwenye hii video!!
Unajua kuna nyimbo fulani inaweza kuwa ya kawaida lakini, video ikabeba nyimboo!!!
Sasa hapa ndo anakosea HARMONIZE..

Nyimbo ametumia lugha, ambavyo tunajua ilikuja na meli kwa watanzania weengi!!

Baaasi alitakiwa atengenezd video khaali sanaa ili video mtu apate hamu ya kuitazama hata kama nyimbo haelewi!!

Mfano:: nyimbo kama ya JUX-
UMENIWEZA

binafsi naona ni nyimbo ya kawaida tuuu!!
Lakini video nikiitazana sichoki
Through ni aina Mbili tofauti ya muziki
Lakini Harmonize anatakiwa abadilike kwenye Hili!!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Anaonekana yupo makini na amejipanga kisawasawa.
Rich mavoko sijui anafeli wapi,hatutendei haki wapenzi wa muziki mzuri.

Enjoy
Huyu jamaa studio anayorekodia imeharibu Sana mziki wake

Iko mono mnooo

Halafu Nigerian accent ndio inaharibu kabisa ubongo fleva

Manager wake aliangalie Hilo, tutamsahau

Beats ziko mono kama unasikiliza redio ya mkulima
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…